Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kukamata vijana waporaji (Vishandu) wakiwa na simu za mkononi aina mbalimbali zipatazo 60 katika juhudi za kudhibiti wimbi la uporaji wa simu ambalo limekuwa ...
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Umwagiliaji na Zana za Kilimo, Mhandisi Athumani Kilundumya, amesema ...
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, amesema licha ya uwapo wa masharti ya kinyojaji kwenye utoaji wa mikopo isiyo rasmi maarufu ...
Wanawake wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile pamoja na wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja wametajwa kuwa katika ...
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga wameonyesha kutoridhishwa na utoaji wa huduma ya vitambulisho ...
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga wameitaka Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini ...
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetoa wito kwa wadau wa afya ulimwenguni kuzingatia suala la afya ya akili kwa watu wanaoishi ...
SERIKALI imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa usambazaji majisafi na salama katika Manispaa ya Morogoro utakaogharimu Sh.
Nyumba zaidi ya 3,000 zilizopo kandokando ya Mto Msimbazi zinatarajia kubomolewa ili kupunguza athari za mafuriko katika eneo la Jangwani na kuboresha mipango miji. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu ( ...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Zungu, amefafanua taarifa zinazosambaa zikidai kuwa baadhi ya wabunge wameitwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ...
KLABU ya Simba kwa mara ya kwanza imekiri kuwa haikuwa na kikosi bora cha kuweza kupambana kwenye michuano ya kimataifa hususan Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ...
Saif al-Islam Gaddafi, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, amefariki dunia baada ya kushambuliwa kwa risasi katika mji wa Zintan, Magharibi mwa nchi hiyo. Kwa mujibu wa mwandishi ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results